WAZIRI CHIKAWE ACHANGISHA ZAIDI YA MILIONI 22 KKKT JIMBO LA KASKAZINI-MAGHARIBI NACHINGWEA
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea,
Mathias Chikawe akifungua zoezi la uchangiaji wa harambee ya kupatikana
kwa shilingi milioni 100 kwa ajili ya ununuzi wa gari la Kanisa la
Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Jimbo la Kaskazini-Magharibi
linalojumlisha Wilaya ya Nachingwea, Ruangwa na Liwale mkoani Lindi.
Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Regina Chonjo, anayefuata ni
Katibu Mkuu wa KKKT, Dayosisi ya Kusini –Mashariki, Jane Mkimbo. Kulia
ni Mkuu wa Jimbo hilo, Mchungaji Charles Mtweve. Katika harambee hiyo
Shilingi Milioni 22.3 zilipatikana. Picha zote na Felix Mwagara
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea,
Mathias Chikawe akifungua zoezi la uchangiaji wa harambee ya kupatikana
kwa shilingi milioni 100 kwa ajili ya ununuzi wa gari la Kanisa la
Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Jimbo la Kaskazini-Magharibi
linalojumlisha Wilaya ya Nachingwea, Ruangwa na Liwale mkoani Lindi.
Katika harambee hiyo Shilingi Milioni 22.3 zilipatikana.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea,
Mathias Chikawe akitoa mchango wake wa awali shilingi milioni moja kwa
ajili ya uchangiaji wa harambee ya kupatikana kwa shilingi milioni 100
kwa ajili ya ununuzi wa gari la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania
(KKKT), Jimbo la Kaskazini-Magharibi linalojumlisha Wilaya ya
Nachingwea, Ruangwa na Liwale mkoani Lindi. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya
Nachingwea, Regina Chonjo, anayefuata ni Katibu Mkuu wa KKKT, Dayosisi
ya Kusini –Mashariki, Jane Mkimbo. Wapili kulia ni Mkuu wa Jimbo hilo,
Mchungaji Charles Mtweve. Katika harambee hiyo Shilingi Milioni 22.3
zilipatikana.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea,
Mathias Chikawe (watatu kushoto), Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Regina
Chonjo (wanne kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Jimbo la
Kaskazini-Magharibi, Nachingwea na KKKT Dayosisi ya Kusini-Mashariki,
Kanisa Katoliki na maofisa wa wilaya hiyo, mara baada ya kumaliza
harambee ya kuchangisha milioni 100 kwa ajili ya ununuzi wa gari la
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Jimbo la
Kaskazini-Magharibi linalojumlisha Wilaya ya Nachingwea, Ruangwa na
Liwale mkoani Lindi. Picha zote na Felix Mwagara
No comments:
Post a Comment