U Heard ya leo December 22 iko hapa, inamhusu msanii Ney wa Mitego.

Ney amesema amefanya maamuzi ya kuirudia
video yake kwa sababu Dar pia ina mazingira yote mazuri ya kufanyia
video, hivyo akaamua kuirudia video hiyo na kwa sasa hayuko tayari
kuzungumzia kuhusu kilichotokea.
Ney
amesema kuwa video zote mbili zimemgharimu zaidi ya milioni 36, lakini
kama ile moja angeridhishwa nayo gharama zake zisingefikia kiwango
hicho.
No comments:
Post a Comment