Tuesday, December 16, 2014

Janga la ajali ya boti mtoni, miili yapatikana wengine haijulikani walipo

Usafiri wa majini umekuwa usafiri mkubwa unaotegemewa katika maeneo ambayo yamekuwa na changamoto ya miundombinu katika nchi ya Congo.
candlelight-4
Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Habari Congo Lambert Mende, amethibitisha kutokea kwa ajali iliyosababisha vifo vya watu 129 iliyotokana na boti ya MV Mutambala kujaza watu kupita kiasi ambapo ilikuwa na watu zaidi ya 300 na kusafiri wakati wa usiku kitu ambacho hakiruhusiwi.
Boti hiyo ilizama mto Kasai umbali wa kilometa 50 kutoka Mji wa Tshikapa.

Boat-(R)
129_bodies_recovered_from_lake_tanganyika24985_L

No comments:

Post a Comment