Hukumu imetolewa!Je unamkumbuka yule mfanyakazi wa ndani nchini Uganda
aliyemtesa mtoto? sasa atahukumiwa kifungo cha miaka minne. ...
Katika hali ya kawaida watu wengi huambiwa kuwa Chocolate si kitu
kizuri na kuna sababu nyingi za kukufanya uamini kuwa chocolate si nzuri
. ...
Hivi umeshawahi kukutana na watu wanashindana kufanya kitu fulani cha
kawaida tu, kama kula ama kunywa… ama chochote kile, halafu mwisho wa
mabishano hayo wanawekeana hata hela ili atayayemshinda mwenzake
anachukua kiasi chote cha pesa ambacho kimewekwa. ...
1. MPIGIE SIMU HATA MARA 1 KWA SIKU KUMJULIA HALI. UKIBANWA SANA, JARIBU KUMTUMIA HATA UJUMBE MFUPI KUONYESHA UNAMJALI. ...
Watafiti wamegundua kwamba wanaume ambao hawafanyi shughuli za kuwalinda wapenzi wao, huzalisha mbegu zenye ubora zaidi. ...
Mara nyingi sana watu wamekuwa wakiwasifu wanawake kwamba ni watu wapole lakini ukweli haupo hivyo. ...
Gari aina ya Toyota VX likiwaka moto baada ya kuchomwa na wananchi
mchana leo Bunju B jijini Dar kwa kusababisha ajali na kuuwa madereva
watatu wa bodaboda... ...
Ugonjwa mwingine wa ajabu umeibuka Uganda, ambapo umewakumba watoto na
wengine wakiripotiwa kufariki kutokana na ugonjwa huo. ...
Kama simu yako ya mkononi haikatiki kiganjani mwako muda wowote,
inaweza ikawa inaharibu uhusiano wako na umpendaye. Wanasaikolojia
wamesema kuwa watu wengi kwa sasa wanalazimika kushindana na smartphone
za wapenzi wao kupata attention. ...
Tamasha Kubwa na Maarufu la Nyama Choma Hapa Dar es Salaam Limepigwa
Marufuku na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Kufanyika
katika Viwanja vya Chuo hicho Baada ya Tamasha ...
Ajali popote, huyu jamaa amepata ajali kazini tena huenda katika mazingira ambayo hakuwahi kutarajia. ...
HAKUNA neno jingine la kutumia zaidi ya kusema; KWELI MUNGU MKUBWA! Ni
miezi mitano sasa imekatika tangu kusambaa kwa picha mitandaoni
zilizomwonesha mwanaume mmoja akiwa ameshindiliwa sululu kichwani huku
kisa kikiwa hakijulikani. ...
Wakazi wa jiji la Dar es salaam wapo katika hatari ya kupatwa na
magonjwa makubwa kama saratani, utasa, kupoteza uwezo wa kuona,kuharibu
ubongo,maini na figokutokana na matumizi ya mboga za majani zinazolimwa
katika mabonde ya jiji hilo. Matumizi ya mboga hizo ni makubwa jijini
humo,yakitokana na umuhimu wake...
Mapacha ambao wameungana huko Bengal Magharibi Ganga na Jamuna
Mondal 45, wamesema hawajawahi kuwa na mpenzi katika maisha yao kwa
sababu ya kukataliwa kutokana na mwonekano wao.
Mtaalamu mmoja wa wanyama pori nchini Marekani, Paul Roslie aliamua
kufanya utafiti ndani ya tumbo la nyoka mkubwa aina ya Anaconda ili
kuchunguza maumbile ya ndani ya Nyoka huyo. ...
Licha ya kukanusha awali, Urusi imesema inamiliki ndege ya mizigo
iliyozuiwa katika uwanja wa ndege wa Kano kaskazini mwa Nigeria baada ya
kugunduliwa imebeba silaha ambazo hazikuwa zimearifiwa. ...
Bila hata kwenda mbali angalia Hizi Statement kadhaa za Wanaume Wasiojiamini: ...
Tulisikia kwamba baada ya kufanyiwa upasuaji Marekani, Rais Kikwete
alipewa masharti kadhaa na madaktari waliomfanyia upasuaji juu ya
utaratibu wa kufanya katika kipindi cha miezi mitatu, ambapo moja ya
masharti aliyopewa ni kutofanya kazi ngumu. ...
Tumesikia visa vingi ikiwemo vile vya kujiua ama kujidhuru kwa namna
yoyote ambavyo vinasababishwa na mikasa ya mapenzi, kila kukicha
tunasikia kisa ama visa vipya ambavyo watu wanajikuta wakijitenda
kutokana na masuala ya mapenzi. ...
Rekodi mbalimbali zimekuwa zikivunjwa kila siku Duniani, siku chache
zilizopita tuliisikia ile ya watu wawili waliovunja rekodi mbili kubwa
ile ya mtu mfupi kuliko wote na mtu mrefu kuliko wote Duniani kukutana
kwa mara ya kwanza. ...
No comments:
Post a Comment