Katuni na Ujumbe wake huooooooooooo.............
Maadhimisho ya Miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mikono wananchi waliofurika katika
uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho ya sherehe za
miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara akiwa katika Gari maalum
liliozunguuka katika uwanja huo leo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua
Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lilioandaliwa katika sherehe za
kilele cha Maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara
zilizofanyika leo katika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua
Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lilioandaliwa katika sherehe za
kilele cha Maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara
zilizofanyika leo katika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Makamo wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi katika
Kilele cha Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara
zilizofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Mama Salma Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika Kilele
cha Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara
zilizofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam,
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Mama Salma Kikwete akisalimiana na Makamo wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi katika
Kilele cha Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara
zilizofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na
Viongozi wa Kitaifa wakisimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa katika
kilele cha sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara
zilizofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Vikosi
vya Ulinzi na Usalama vikitoa salamu ya heshma wakati Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili katika
Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam leo katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara
Mabalozi wa
Nchi mbali mbali wanaoziwakilisha Nchi zao hapa nchini wakiwa katika
Sherehe za Maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara
zilizofanyika leo katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam ambapo
mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete,
Baadhi ya wananchi kutoka mitaa mbali mbali ya Jiji la Dar es Salaam na Mikoa jirani wakiwa katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dare Salaam katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara ambazo hufanyika kila mwaka,
Mabalozi wa
Nchi mbali mbali wanaoziwakilisha Nchi zao hapa nchini pamoja na
Wananchi wakiwa katika Sherehe za Maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa
Tanzania Bara zilizofanyika leo katika Uwanja wa Uhuru ambapo mgeni rasmi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,( Picha na Ikulu zanzibar)
LEO NI SIKUKUU YA MIAKA 53 YA UHURU
Baba
wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiinua juu bango linalonadi
UHURU KAMILI miaka 53 iliyopita. Leo ni sikukuu ya kukumbuka siku hii
adhimu
Baba
wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwasili uwanja wa Uhuru
jijini Dar es salaam kujiunga na wananchi kusherehekea sikukuu ya Uhuru
miaka 53 iliyopita.( chanzo by michuziblog)
No comments:
Post a Comment