Wednesday, December 24, 2014

NDANI YA KLABU YA YANGA, YADAIWA ZAIDI YA BILIONI MBILI ZAPOTEA KATIKA MAZINGIRA YA KIESCROW

Taarifa  zinadai ya kwamba zaidi ya shilingi bilioni mbili za klabu ya YANGA zimetafunwa na wajanja wasiojulikana mpaka sasa,
Inasemekana ubadhirifu huo umefanyika na baadhi ya wafanyakazi waliomaliza muda wao hivi karibuni,
Baadhi ya majina ya wafanyakazi wa zamani wakiongozwa na aliyekuwa katibu mkuu wa klabu hiyo bwana Beno Njovu jana walipelekwa kituo cha polisi cha Central kuhojiwa kutokana na ubadhirifu huo.
Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika ndani ya klabu hiyo kimesema zaidi ya bilioni mbili zimepotea katika mazingira ya kutatanisha.

No comments:

Post a Comment