BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI AAGANA NA MAAFISA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga( watatu toka kushoto)
katika picha ya pamoja na maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa walipotembelea ofisini kwake kumuaga. Maafisa
hawa ni kati ta timu imara iliyofanikisha ziara ya kikazi ya Mh. Waziri
Mkuu. nchi za Falme za Kiarabu kabla ya Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda
kukatisha ziara hiyo baada ya kuitwa nyumbani na Mhe. Rais Jakaya
Kikwete.
No comments:
Post a Comment