KAMPUNI YA SMART COMMUNICATION GENERAL
ENTERPRISE LTD (SCGE) inapenda kukukaribisha katika usiku wa kihistoria wa
zawadi maalum kwa wanandoa utakaoweka historia mpya tangu kuanza kwa ndoa yako.
Siku hii maaluma ya kukumbukwa itakuwa
tarehe 26/12/2014 yaani siku ya
Chrismas Box ambayo watu wote duniani huitumia kwa ajili ya kupeana zawadi,
Lakini wewe siku hiyo utaitumia kwa ajili ya kupeana zawadi kwa mwandani wako
ndani ya Ukumbi wa Mkapa kuanzia saa 12
jioni.
Siku hii itapambwa na burudani kabambe za
muziki wa aina mbali mbali utakaowafanya mjisikie kutojutia kuwa ndani ya ndoa,
pia kutakuwa na mafundisho kwa Walimu wa NDOA waliobobea ambao watakueleza nini
maana ya ndoa, faida zake, furaha ya ndoa, siri ya ndoa inayodumu miaka
mingi na mengine mengi.
Pia kutakuwa na chakula kizuri na
vinywaji, njoo na mwenzi wako ambapo viongozi mbali mbali na watu maarufu
wakakuwepo wakiwemo viongozi wa serikali katika Mkoa wa Mbeya.
Ili kufanikisha maandalizi na usiku huu
wa ajabu kwako unaombwa kuchangia shilingi elfu hamsini(50,000/= tu )
Mungu akubariki na ahsante kwa utayari
wako, njoo tufurahi pamoja na kujua
mpango wa Mungu kwa wanandoa.
Kwa
mawasiliano zaidi;
Charles
Mwakipesile (Mratibu mkuu) 0754- 301848
Au
Mtumuli 0755- 367723.
|
No comments:
Post a Comment