Sunday, December 7, 2014

MWANAMKE ATAKA KUMTUMBUKIZA MWANAY


 Mwanamke Veronica Madebe katikati ya umati wa watu
Mwanamke mmoja amekutwa akitaka kumtumbukiza mwanaye wa kiume  mwenye umri wa kati ya miaka mitano hadi saba kwenye kisima cha maji, kutokana na kinachosadikiwa kuwa ni imani za kishirikina, Kihonda Morogoro.
Hali ya sintofahamu imeibuka katika mtaa wa Azimio, kata ya Kihonda katika manispaa ya Morogoro, baada ya mwanamke mmoja, Veronica Madebe, kukutwa akitaka kumtumbukiza mwanaye wa kiume  ambaye ni pacha, mwenye umri wa kati ya miaka mitano hadi saba kwenye kisima cha maji, kutokana na kinachosadikiwa kuwa ni imani za kishirikina

No comments:

Post a Comment