MAMA SALMA KIKWETE AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI KATA ZA NACHINGWEA NA MINGOYO MKOANI LINDI
Mke
wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM, Mama Salma Kikwete akimjulia
hali mtoto mdogo aliyebebwa na mama yake wakati Mama Salma akiingia
kwenye sehemu ya mkutano wa kampeni katika Kata ya Mingoyo huko Lindi.
Mjumbe
wa NEC Taifa ya Chama cha Mapinduzi na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete
akiwahutubia viongozi wa CCM Kata ya Mingoyo pamoja na wagombea uongozi
kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika tarehe 14.12.2014.
Viongozi
wa CCM Kata ya Nachingwea pamoja na wagombea uongozi kwenye uchaguzi wa
serikali za mitaa wakiwa katika kikao na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya
Taifa Mama Salma Kikwete (hayupo pichani).
Viongozi
wa CCM Kata ya Nachingwea pamoja na wagombea uongozi kwenye uchaguzi wa
serikali za mitaa wakiwa katika kikao na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya
Taifa Mama Salma Kikwete (hayupo pichani).
Mke
wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma
Kikwete akijumuika na viongozi mbalimbali wa Mkoa na wilaya ya Lindi
mjini pamoja na wananchi wa Kata ya Mingoyo kucheza wakati wa mkutano wa
kampeni uliofanyika Mnazi Mmoja tarehe 6.12.2014.
Mke
wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma
Kikwete akijumuika na viongozi mbalimbali wa Mkoa na wilaya ya Lindi
mjini pamoja na wananchi wa Kata ya Mingoyo kucheza wakati wa mkutano wa
kampeni uliofanyika Mnazi Mmoja tarehe 6.12.2014.
Mke
wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma
Kikwete akijumuika na viongozi mbalimbali wa Mkoa na wilaya ya Lindi
mjini pamoja na wananchi wa Kata ya Mingoyo kucheza wakati wa mkutano wa
kampeni uliofanyika Mnazi Mmoja tarehe 6.12.2014.
Mke
wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi
Mama Salma Kikwete akiwahutubia viongozi wa Kata ya Mingoyo pamoja na
wananchi wa Mnazi Mmoja wakati wa mkutano wa kampeni ya uchaguzi wa
serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 14,12.2014
Mke
wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi
Mama Salma Kikwete akiwahutubia viongozi wa Kata ya Mingoyo pamoja na
wananchi wa Mnazi Mmoja wakati wa mkutano wa kampeni ya uchaguzi wa
serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 14,12.2014.
Mke
wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi
Mama Salma Kikwete akiwahutubia viongozi wa Kata ya Mingoyo pamoja na
wananchi wa Mnazi Mmoja wakati wa mkutano wa kampeni ya uchaguzi wa
serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 14,12.2014. PICHA NA
JOHN LUKUWI.
No comments:
Post a Comment