Monday, December 1, 2014

Picha Za Weusi Na Mzazi Willy M Tuva Ndani Ya Mambo Mseto

  Kundi la Weusi “Joh Makini, Nikki Wa Pili na G Nako” wamefanya mahojiano na Mambo Mseto leo kupitia Radio Citizen na Presenter Mzazi Willy M Tuva. Ni vizuri kwa wasanii wa Tanzania kufanya Interview na Ziara nchi tofauti Africa huju wakitangaza muziki wao na kusambaza kazi zao mpya.
Muziki wa Weusi na Video yao ya Nje Ya Box Viliongelewa kwenye Mambo Mseto.

No comments:

Post a Comment