Wednesday, December 3, 2014

kigoma waendesha zoezi la kuandikisha wahamiaji haramu

Mkuu wa idara ya Uhamiaji Mkoa kigoma Ebrossy Mwanguku (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na zoezi la uandikishaji wahamiaji haramu wanaoishi mkoani humo (kulia) Mkurugenzi wa Idara ya Uhamiaji anayeshughulikia udhibiti na usimamizi wa mipaka Abdullah Hamisi.

Afisa uandikishaji wa zoei la kuandikisha wahamiaji haramu kutoka nchi za maziwa makuu wanaoishi mkoani Benny Moshi (kushoto) akitoa maelezo  kwa Mkurugenzi wa Idara ya Uhamiaji anayeshughulikia udhibiti na usimamizi wa mipaka Abdullah Hamisi katika uwanja wa lake Tanganyika mjini Kigoma ambako zoezi hilo linafanyika.


Baadhi ya raia kutoka nchi za ukanda wa maziwa makuu waliokuwa wakiishi bila vibali mkoani Kigoma wakiwa wamejitokeza kuandikishwa ili kupatiwa vibali vya kuwawezesha kuishi kihalali katika zoezi linaloendesha na idara ya uhamiaji na Shirika la Uhamaji la Kimataifa (IOM).

No comments:

Post a Comment