Hawa ndiyo mastaa waliotajwa kwenye vipengele vingi zaidi tuzo za Grammy 2015

Mwandishi na mwimbaji Sam Smith, mama wa Blue Ivy na mke wa Rapper Jay Z, Beyonce na mkongwe asiyezeeka ambaye ni mtayarishaji wa muziki na mwimbaji pia Pharrell Williams wametajwa kuwa ni wasanii ambao wametajwa kuwania tuzo nyingi zaidi kwenye Tuzo za Grammy zitakazofanyika February mwaka 2015.

Mastaa hao wametajwa kuwania kwenye
vipengele sita kila mmoja huku masikio na macho ya wengi yakiangalia
nani kati yao ataweza kuivunja ile rekodi ya kubeba tuzo zote sita?
No comments:
Post a Comment