Movie ya kibongo iliyotayarishwa na Paull Mashauri "One Month Date" inatarajiwa kuachiwa December 5
Paul mashauri ameangalia vipaji vya wasanii wengine ambao hawajawahi
kuonekana katika movie tulizozizoea, na ndani yake amecheza mwanadada
mjasiriamali anaekuja kwa kasi katika utengenezaji na uuzaji wa Ice
Cream "Nelwa's Gelato", Mercy Kitomari. Angalia trailer hiyo hapa chini.
No comments:
Post a Comment