Zile ripoti zilizozagaa kuwa msanii maarufu Africa kutoka Uganda Jose
Chameleone aliomba collabo kwa Diamond amezikanusha mwenyewe
Chameleon amesema anachojua yeye ni kuwa kampuni inayomiliki application
ya Muziki ambae balozi wake Tanzania ni Diamond ilimuomba kufanya
collable ya wimbo ambao utakuwa ni anthem na Diamond kwa ajili ya app
hiyo ambapo kampuni hiyo bado ipo kwenye mazungumzo nae na si kuwa yeye
alimpigia Diamond kuomba Collable.
"Sio mimi nimempigia Diamond kumuomba tufanye collabo na kitu kama
hicho, wale wa Muziki App ndio wanahitaji mimi na yeye tufanye kazi ya
anthem ya Muziki App.Wanajaribu kuunganisha yeye na mimi tufanye
collaboration lakini eti mimi nimemu-whatsapp na nimemuomba
collaboration thats not right" amesema Chameleon anaifanya vizuri na
wimbo wake wa wale wale kwa sasa.
m not at a level of asking for a collaboration from any artist in that
manner, sio kwamba sina heshima yake (Diamond) ama kitu kama hicho
lakini thats not the truth, haiwezi kuwa hivyo. I have been doing music
for the past 14 years, right? so iam not an upcoming
No comments:
Post a Comment