Wednesday, November 26, 2014

MRADI WA KUWAWEZESHA AKINA MAMA KATIKA KILIMO PAWAGA


Mwakilishi wa ubalozi wa marekani David Feldmann akihutubia mamia ya wakazi wa vijiji vya tarafa ya Pawaga wakati sherehe ya kufunga mafunzo ya mradi wa kuwawezesha akina katika kilimo kupitia asasi ya mpango salama wa maendeleo ya vijana (SYDS) kwa ufadhili ya watu wa marekani.  Alisema kuwa kilimo bora ni kile chenye kuleta tija na mafanikio.(Picha

No comments:

Post a Comment