Friday, November 21, 2014

Hekaheka ya November 14 inamuhusu mwigizaji wa Tanzania aliyesingiziwa mtoto.


chini homeHekaheka ya leo muigizaji maarufu Single Mtambalike maarufu kama Richie, ameelezea hekaheka yake ya kusingiziwa Mtoto na mwanamke kutoka Shinyanga ambaye alifika nyumbani kwake akiwa na mtoto mchanga na kudai ni mtoto wa msanii huyo.
Single-Mtambalike-535Richie amesema wakati huo ndoa yake ilikuwa changa na mke wake alikuwa na mtoto mchanga kwa hiyo hii ishu iliitingisha sana ndoa yake,  anasema hakuwahi kumwona mwanamke huyo, hivyo baada ya kukasirishwa na kitendo hicho alijikuta akimpiga Mwanamke huyo makofi.
Hapa chini ndio unaweza kuisikiliza Hekaheka yote kwa kubonyeza play.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa

No comments:

Post a Comment