Saturday, November 29, 2014

Avril ampa sifa nyingi boyfriend wake mpya, Mfanya biashara kutoka South Africa

Msanii kutoka Kenya "Avril" ambae ameshawahi kuzushiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wasanii kama Diamond baada ya kuonekana kwenye video  yake (kesho), Jalaong'o na mwanamuziki wa Kenya, G Kon ameamua kufunguka kuhusu mwanaume anaem-date baada a kukanusha kutoka na niliowataja hapo juu
Kwanza kabisa Avril hana uhusiano wa kimapenzi na mtu ambae anajulikana, boyfriena wake kwa sasa ni mfanya biasharakutoka South Africa, ambae muimbaji huyo amemmwagia sifa kibao  akisema ni kiasi gani anamkubali 

katika moja ya interview aliyofanya na Ghafla, Avril amesema boyfriend wake wa sasa alikutana nae baada ya kuelekezwa kwake akitaka kufanya kazi katika tasnia ya muziki, wamekuwa wakichat kwa takriban mwezi mzima na baadae kuamua kuchanganya kazi na starehe.
Alipoulizwa kwanini hakutaka kumuweka wazi kwa umma boyfriend huyo, Avril amesema hapendi kujulikana na yeye pia anapenda maisha yake binafsi kuwa binafsi, "Mi sipo kwa ajili ya kujionyesha kwa familia yangu, napenda kuwa "Nyambura"  mahusiano yangu siku zote yamekua chini ya radar alielezea Aviril

No comments:

Post a Comment