Saturday, November 29, 2014

Diamond kurecord tena audio, video na wasanii wakubwa Africa


Mwanzoni mwa mwaka huu msanii Diamond Platnumz aliiwakilisha Tanzania katika kampeni iliyokuwa ikihamasisha kilimo (One Campaign) na kufanya wimbo pamoja na video na wasanii wakubwa Africa.
Diamond amepata nafasi hiyo kwa mara ya pili ya kufanya kazi na One Campaign na safari hii anaungana tena na wasanii wengine kutoka Africa kwa ajili ya kutengeneza wimbo unaopiga vita ugonjwa wa Ebola

"Kwa taarifa ambazo nimezipata tutatumia beat ya we are the world, tutaimba na kushoot video" amesema Diamond
Licha yakuchaguliwa kuwepo katika kugombani tuzo za hannel O, zitakazofanyika weekend hii  Diamnd pia amepata shavu
la kutoa tuzo mojawapo

No comments:

Post a Comment