Ni
mara chache kwa warembo kama Brigitte kujitolea time yao, mawazo pamoja
nguvu yao kufanya vitu kama hivi kwenye jamii ya Watanzania ambayo kila
kona ina hitaji misaada mbalimbali ili kupiga hatua za kimaisha.
Ninachotaka kukwambia hapa ni kuhusu hili jambo kubwa alilolifanya Brigitte kupitia Foundation yake ya Brigitte Alfred ambayo kiukweli imeanza kubadili maisha ya baadhi ya Watanzania kama hawa kuanzia kwenye mitazamo.
Ninachotaka kukwambia hapa ni kuhusu hili jambo kubwa alilolifanya Brigitte kupitia Foundation yake ya Brigitte Alfred ambayo kiukweli imeanza kubadili maisha ya baadhi ya Watanzania kama hawa kuanzia kwenye mitazamo.
Brigitte
amekua miongoni mwa Warembo wachache wa Tanzania ambao wameweza
kumiliki vichwa vya habari kwa habari nzuri na za kuwasaidia Watanzania.
Neno lako lolote kwenye comment linaweza kusaidia kumpa nguvu Brigitte kwenye hii kazi ambayo ndio kwanza ameianza.
No comments:
Post a Comment