Monday, November 24, 2014

Bibi Cheka ashindwa kupata laki mbili kujenga kibanda anacholala


chin


Rapper mwenye umri mkubwa kuliko wote,  bibi cheka, wiki iliyopita kupitia 255 alifunguka kuhusu afya yake na kutuhabarisha kuwa anaumwa na ameanza kurudi katika hali yake, baada ya kuanguka ghafla miezi mitatu iliyopita.
Bibi cheka pia akatuonjesha ladha ya ngoma yake mpya ambayo anytyme label yake ya Mkubwa na Wanae wataiachia.
 kama unavyofahamu umaarufu zaidi unahitaji usalama zaidi, lakini mazingira anayoishi bibi cheka pande za Bunju jijini Dsm, ni kwenye kichumba cha udongo, ambacho anatamani kukivunja na angalau kujenga cha matofali ya cement
"hapo nnamabati matano ndani na  matofali yalikuwa 440, unaona, inapanda chumba kimoja tu, na mabati matano yanaweza kuwa chumba kimoja kwa mjengo wa kisasa kama huo lakini sasa sio hivyo kwafundi yuko nyumba hii ananijengea mimi laki mbili chumba kimoja, laki mbii tu....." amesema Bibi Cheka

No comments:

Post a Comment