Saturday, November 29, 2014

Kama nafanikiwa kuingia Bungeni kwa mambo kama haya ninavyoyaona WABUNGE nitawapiga sana ngumi: PINA


 Katika sakata linaloendelea hivi sasa bungeni juu ya pesa za Tegeta Escrow kuwa na sintofahamu ya ni za wananchi au la, maoni ya mwanahiphop aliewahi kujitangaza kugombea ubunge mwaka ujao Kala Pina" amesema haya
"Maoni yangu zile ni pesa sa umma ama si bana na repoti ya watu wasoni na yenyee imechunguza imetoa ripoti yake kwamba hawa watu inabidi wafilisiwe mali zao na wapandishwe kwenye mahakama ili kuweza kujibu tuhuma zinazowakabili, wanaotakiwa kutoa maelezo ya kina ambao ni mawaziri wamekuwa wakijiumauma sana ujue,

No comments:

Post a Comment