Oprah amesema kua, Tukio hili la huko Switzerland ni tukio tu ambalo limetokea huko Switzerland, na anaomba msamaha kwa kuwa kwa sababu yake limekua na kuwa issue kubwa.
![]() |
. |
Hata hivyo kwa upande mwingine Oprah amesema kuwa, Hakuna haja ya Switzerland wala wahusika kutoka Duka ambalo alikutana na tukio hili kumuomba msamaha na yeye alifanya hivyo makusudi kuonyesha hali inavyokuwa wakati unapofika mahali ambapo watu hawakutegemea kama utakuwa na uwezo wa kupafika.
Oprah alikataliwa kutazama pochi yenye thamani ya dola 38,000, sawa na shilingi 61,503,000 za BURUNDI
No comments:
Post a Comment