Mtangazaji wa kipindi cha Mkasi , Salama Jabri soon ataanza kuonekana ndani ya kipindi cha televisheni cha Kenya kinachotarajiwa kuanza kuonekana East Africa "Tujuane" akiwa na mtangazaji mwenzake Malonzi
Kipindi hicho kinachohusu mahusiano hasa kwa wale wanaotafuta mahusiano, kitakuwa kinaruka kupitia Dstv, Maisha Magic channel 161
No comments:
Post a Comment