Monday, March 16, 2015

Zitto KABWE.. Ufisadi Mv Dar es Salaam.. Mizani Kibaha kufungwa? Zisikie zote hapa #PB Clouds FM

Fresh-startJumatatu ya March 16, Magazeti ya leo tayari yapo mtaani, POWERBREAKFAST ya CLOUDS FM imefanya uchambuzi wa story kubwa zote zilizopo kwenye Magazeti, ulipitwa na hiyo? Unaweza kusikiliza hapa.
Habari kubwa kutoka kwenye Magazeti ya leo ni Askofu Kardinali Pengo kuzungumzia tamko la Maaskofu kuhusu Kura ya Maoni Katiba iliyopendekezwa, Mbunge Zitto Kabwe kutangaza rasmi kutokuwania Ubunge uchaguzi ujao, TANROADS kufunga mizani ya Kibaha, maadhimisho ya wiki ya maji kuaanza leo huku kukiwa na uhaba mkubwa wa maji nchini.
Stori nyingine ni ishu ya TEMESA kusema hakukuwa na ufisadi wowote katika ununuzi wa kivuko cha MV DAR, mapya yaibuka kwenye mchakato wa ununuzi wa mabehewa TRL na mtandao wa majangili nchini wabainika Tz.

No comments:

Post a Comment