Monday, March 23, 2015


Sherehe ya kuapishwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ na Mkuu wa JKT iliyofanyika Ikulu tarehe 26 Septemba 12

Mnadhimu Mkuu Luteni Jenerali Samweli Ndomba akiapa mbele ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Jakaya Kikwete 

Mkuu wa JKT Meja Jenerali Raphael Muhuga akiapa mbele ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Jakaya Kikwete

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange(kushoto), Mnadhimu Mkuu Luteni Jenerali Samwel Ndomba(wapili kulia) na Mkuu wa JKT Meja Jenerali Raphael Muhuga.

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dk Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange na Mnadhimu Mkuu Luteni Jenerali Samwel Ndomba na Mnadhimu Mkuu aliyestaafu Luteni Jenerali Abdulrahamani Shimbo (aliyevaa suti).

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa na Kaimu Mkuu wa Utumishi Jeshini, Meja Jenerali Grace Mwakipunda(kulia) na Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Jeshini, Meja Jenerali Lilian Kingazi.

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Jakaya Kikwete, Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange wakiwa na wanadhimu wa JWTZ.
Posted on 27-Sep-12 02:07.

No comments:

Post a Comment