Thursday, March 5, 2015

Wale wa kupiga chabo darasani, wenzenu wako hapa na ubunifu wao mkali.

chabo 2
Ni tabia ambayo ipo kwenye kila shule, hata kama kuna Wanafunzi wanaongoza kwa kuelewa, hawakosekani wachache kwenye darasa ambao hupiga chabo sana kipindi cha mitihani.

No comments:

Post a Comment