Wednesday, March 4, 2015

Mke wa msanii Noorah "Camila Kingwalu" afariki dunia

Mke wa Rapper "Noorah" Camila Kingwelu, amefariki dunia usiku wa jana, akiwa nyumbani kwao Morogoro, baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Akizungumza na Clouds Fm leo hii, Noorah ambae yuko njiani akielekea msibani, amesema, mkewe alikuwa anasumbuliwa na matatizo ya kifua,

 "alikuwa akibanwa sana na kifua kiasi cha kushindwa kupumua vizuri" amesema Noorah.
Marehem alikuwa anaitwa Anna Kingwalu, lakini baada ya kuolewa na Noorah ndio akapewa jina la Camila 

No comments:

Post a Comment