MAPOKEZI YA ZITTO KABWE YAFUNIKA MBAYA KIGOMA KASKAZINI, JIONEE MWENYEWE PICHA
Baada ya kutemwa na CHADEMA, Zitto Kabwe aenda jimboni kwake Kigoma Kaskazini kuzungumza na wananchi wake.
LOL na haya ndio mapokezi aliyopata huko jimboni, watu nyomi wamejitokeza kumpokea na kelele zikisikika ..ZITOO...ZITOOO..ZITOOO...

No comments:
Post a Comment