Tuesday, January 20, 2015


Wolper awachana wasanii wa BongoMovie awaita masnitch, awapa ushauri huu…. SSOma hapa

Kumekuepo na makundi natetesi za kutopendana kati ya wasanii wa Bongo Movie, mara nyingi tumeona wakirushiana maneno na hata mabifu yao kuandikwa na magazeti mbalimbali. Leo kupitia akaunti yake ya Instagram Star Jackline Wolper ameamua kufunguka uozo uliomo kati ya mastar wengi wa Bongo Movie.
wolper
Wolper aliandika ” Nawapenda sana Bongo Movie lakn chakusikitika vile vichwa mnavyoviamin kwenye tasinia ndo masnch wakubwa simtoke huko tafuteni kAzi nyingne km amjasoma kma mm jifunzeni kushona nguo kma mm me sahv na fund wangu mgece naingia class asubuh najion nimeshachoka kutumikishwa na Wahnd ..kipaji changu kingne mitindo so najisogeza kwenye mitindo Mbali mbali syo kubanana sehem ambapo ampendani kazi majungu nakusnchiana kila sku .. Nawahnd awatetereki Maana hao Mnaowaita magwiji ndomsatar wambele kukandamiza .. sasa sjui lengo nn kupata wao tuu au basi tuu roho mbaya..Nikipata Majina yao yote nitawawek na Mapicha yao..siongei kma movie star Naongea kma Mwananch nayependa snaa iliyonishinda nakujitoa bila Matangazo..i hate u wanyonyaji nawachukia saaaaana
Kilichowashtua wengi na kauli yake kua ameamua kuachana na BongoMovie na kuamua kujiingiza katika Fani ya ubunifu wa mavazi. Baadhi ya mashabiki zake waliamua kutoa maoni haya
mwaneywolperfamily1Usitoke mah wengine ndio tunafata nyayo zko kwa kuigiza ss ukitoka mah utatuumiza ss mashabiki zko.Mungu yupo na hyo yote yatakwisha.
gasnizzoTatizo lenu nyinyi mna angariana wenyewe then m1 akichwa kuangaliwa ana lalamika km ww mbona cc wasanii wadogo tushazoea na ndo maana uwa2na sema lazima upitie kwenye msoto kwan we ushawai kuckia msanii mkubwa anakwambia mim niko kwenye msoto yeye anasema nilipita kwenye msoto sasa lin nae msanii mdogo nae atausaau msoto bila ya kufikia kwenye ustar onyesheni ushilikiano ata kwa m2 wachin ww angalia ata mtandaon mnaubaguz uwez kukuta msanii mkubwa kacomments au kaweka like kwa m2 wa chin labda ndugu yake ila cc ndo uwa tunajishaua kwenu maana me sioni km huo ni usilikiano zaidi ya kujishaua yani kila cku ccndo 2we wa2 wakujishusha kwenu badilikeni sisi sote sawa we jiulize mfano misiba mingapi ya wasanii imepita ma katika hiyo micba kati ya wasanii na mashabiki nani wanakuwaga wengi yani bado 2 amjifunzi na uwez kukuta wasanii wanaenda kwenye msiba wa m2 ambae ayupo katka tasnia yao so ili ni somo mcnichukie kesho mkaninyima kaz me niko free kwa kila m2!!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment