Thursday, January 22, 2015

Richa:Mwanashelia wa Manispaa ya Ilala, Hela Mlimanazi akiwaapisha Wenyeviti wateule, Japhet Kembo - Chadema Mtaa wa Migombani Segerea na, Mbaya Saleh wa Migombani Kata ya Minazi Milefu Kiwalani

Mwanashelia wa Manispaa ya Ilala, Hela Mlimanazi (kushoto) akiwaapisha Wenyeviti wateule, Japhet Kembo (kulia) Chadema Mtaa wa Migombani Segerea na, Mbaya Saleh wa Migombani Kata ya Minazi Milefu Kiwalani wakati wa hafla iliyofanyika Ofisi za Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment