NDOA YA LULU YABAKI NJIA PANDA
Mwigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Stori: Musa Mateja
BAADA ya
kuwa na malengo ya kuolewa mwaka 2014, mwigizaji Elizabeth Michael
‘Lulu’ ameibuka na kusema imeshindikana lakini hajilaumu wala hamlaumu
mtu yeyote kwa kutotimiza suala hilo kwani anaamini Mungu ndiye
anayewezesha kila kitu.
Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Lulu alisema mwaka 2014
alikuwa na malengo mengi likiwemo suala la ndoa lakini kwa kuwa Mungu
ndiye muweza, atapanga upya suala hilo na anaamini litakuja kutimia.
“Ndoa ni mipango ya
Mungu, huwezi kulazimisha hata siku moja, sisi wanadamu huwa tuna
mipango yetu lakini ili ifanikiwe lazima kuwe na baraka za Mungu,”
alisema Lulu.
Akizidi kupiga stori na
paparazi wetu, Lulu alisema kwa mwaka huu na mwakani hawezi kuweka
malengo ya ndoa kwani bado kuna mambo yake hajayaweka sawa hivyo suala
la kuolewa ataliweka hadharani baada ya miaka miwili ijayo.
“Sina mpango hata kidogo
kwa mwaka huu wala mwakani labda baada ya hii miaka kupita ndiyo
ninaweza kupanga tena suala la ndoa,” alisema Lulu.
Alipotakiwa kumtaja
mpenzi aliyenaye kwa sasa, Lulu aligoma kufunguka lakini akakubali
kuanika siri za mwanaume anayetaka kuwa mumewe.
“Kwanza nahitaji mwanaume atakayenielewa kwa kila kitu, pia awe na
mapenzi ya kweli na atakayeniangalia kama Lulu na siyo kama Elizabeth
pekee. Anapaswa kutambua na kusapoti kazi zangu za sanaa,” alisema Lulu.
Kuhusu mikakati yake ya
sanaa mwaka huu, Lulu alisema ana mpango wa kuendelea na masomo huku
akiwa pia na ‘project’ kubwa mbili ambazo anatarajia kuzifanya.
“Nina project kubwa mbili mwaka huu, muda utakapofika kila mmoja atazijua maana nitaziweka wazi,” alisema Lulu.
CHANZO CHA PANYA ROAD KUFANYA VURUGU DAR SOMA HAPA
KIKUNDI
kinachodaiwa kuwa Panya Road kimetikisa maeneo mbalimbali ya Jiji la
Dar es Salaam kwa kupora mali, kujeruhi watu na kuzua sintofahamu katika
maeneo ya jiji hilo wakiwa na mapanga mikononi.
Maeneo
yaliyokumbwa na dhooruba hiyo ni pamoja na Sinza, Tandale, Mwananyamala
na maeneo mengineyo usiku huu. Maduka na baa zimefungwa na kupelekea
polisi kupiga risasi hewani kuwatawanya watu waliokuwa wamekaa
kimakundimakundi.
Imeelezwa
kuwa fujo zilianzia mchana wa jana baada ya kiongozi wa Panya Road aitwaye
Diamond kuuawa maeneo ya mpakani mwa Tandale na Mwananyamala darajani
usiku wa kuamkia mwaka mpya kwa kukatwakatwa na mapanga.
Baada ya kumzika mwenzaoleo, vijana hao wakajipanga kwa ajili ya kufanya fujo.
Usiku ulipoingia wakaanza kazi na kusababisha taharuki kwa wakazi wa Jiji la Dar.
Baadhi
ya mashuhuda walioshuhudia matukio hayo wanadai vijana hao walikuwa na
silaha mbalimbali yakiwemo mapanga na walivamia maeneo kadhaa zikiwemo
baa.
Wateja
waliokuwa katika baa ya Calabash iliyopo maeneo ya Mpakani, Mwenge
walilazimika kuacha vinywaji vyao na kukimbia hovyo huku wengine
wakikanyagana na kukatwa na vipande vya chupa kwa kile kilichodaiwa kuwa
vijana hao walikuwa wanakatiza maeneo hayo japo hawakuingia ndani.
CHANZO CHA PANYA ROAD KUFANYA VURUGU DAR SOMA HAPA
KIKUNDI
kinachodaiwa kuwa Panya Road kimetikisa maeneo mbalimbali ya Jiji la
Dar es Salaam kwa kupora mali, kujeruhi watu na kuzua sintofahamu katika
maeneo ya jiji hilo wakiwa na mapanga mikononi.
Maeneo
yaliyokumbwa na dhooruba hiyo ni pamoja na Sinza, Tandale, Mwananyamala
na maeneo mengineyo usiku huu. Maduka na baa zimefungwa na kupelekea
polisi kupiga risasi hewani kuwatawanya watu waliokuwa wamekaa
kimakundimakundi.
Imeelezwa
kuwa fujo zilianzia mchana wa jana baada ya kiongozi wa Panya Road aitwaye
Diamond kuuawa maeneo ya mpakani mwa Tandale na Mwananyamala darajani
usiku wa kuamkia mwaka mpya kwa kukatwakatwa na mapanga.
Baada ya kumzika mwenzaoleo, vijana hao wakajipanga kwa ajili ya kufanya fujo.
Usiku ulipoingia wakaanza kazi na kusababisha taharuki kwa wakazi wa Jiji la Dar.
Baadhi
ya mashuhuda walioshuhudia matukio hayo wanadai vijana hao walikuwa na
silaha mbalimbali yakiwemo mapanga na walivamia maeneo kadhaa zikiwemo
baa.
Wateja
waliokuwa katika baa ya Calabash iliyopo maeneo ya Mpakani, Mwenge
walilazimika kuacha vinywaji vyao na kukimbia hovyo huku wengine
wakikanyagana na kukatwa na vipande vya chupa kwa kile kilichodaiwa kuwa
vijana hao walikuwa wanakatiza maeneo hayo japo hawakuingia ndani.
CHANZO CHA PANYA ROAD KUFANYA VURUGU DAR SOMA HAPA
KIKUNDI
kinachodaiwa kuwa Panya Road kimetikisa maeneo mbalimbali ya Jiji la
Dar es Salaam kwa kupora mali, kujeruhi watu na kuzua sintofahamu katika
maeneo ya jiji hilo wakiwa na mapanga mikononi.
Maeneo
yaliyokumbwa na dhooruba hiyo ni pamoja na Sinza, Tandale, Mwananyamala
na maeneo mengineyo usiku huu. Maduka na baa zimefungwa na kupelekea
polisi kupiga risasi hewani kuwatawanya watu waliokuwa wamekaa
kimakundimakundi.
Imeelezwa
kuwa fujo zilianzia mchana wa jana baada ya kiongozi wa Panya Road aitwaye
Diamond kuuawa maeneo ya mpakani mwa Tandale na Mwananyamala darajani
usiku wa kuamkia mwaka mpya kwa kukatwakatwa na mapanga.
Baada ya kumzika mwenzaoleo, vijana hao wakajipanga kwa ajili ya kufanya fujo.
Usiku ulipoingia wakaanza kazi na kusababisha taharuki kwa wakazi wa Jiji la Dar.
Baadhi
ya mashuhuda walioshuhudia matukio hayo wanadai vijana hao walikuwa na
silaha mbalimbali yakiwemo mapanga na walivamia maeneo kadhaa zikiwemo
baa.
Wateja
waliokuwa katika baa ya Calabash iliyopo maeneo ya Mpakani, Mwenge
walilazimika kuacha vinywaji vyao na kukimbia hovyo huku wengine
wakikanyagana na kukatwa na vipande vya chupa kwa kile kilichodaiwa kuwa
vijana hao walikuwa wanakatiza maeneo hayo japo hawakuingia ndani.
CHANZO CHA PANYA ROAD KUFANYA VURUGU DAR SOMA HAPA
KIKUNDI
kinachodaiwa kuwa Panya Road kimetikisa maeneo mbalimbali ya Jiji la
Dar es Salaam kwa kupora mali, kujeruhi watu na kuzua sintofahamu katika
maeneo ya jiji hilo wakiwa na mapanga mikononi.
Maeneo
yaliyokumbwa na dhooruba hiyo ni pamoja na Sinza, Tandale, Mwananyamala
na maeneo mengineyo usiku huu. Maduka na baa zimefungwa na kupelekea
polisi kupiga risasi hewani kuwatawanya watu waliokuwa wamekaa
kimakundimakundi.
Imeelezwa
kuwa fujo zilianzia mchana wa jana baada ya kiongozi wa Panya Road aitwaye
Diamond kuuawa maeneo ya mpakani mwa Tandale na Mwananyamala darajani
usiku wa kuamkia mwaka mpya kwa kukatwakatwa na mapanga.
Baada ya kumzika mwenzaoleo, vijana hao wakajipanga kwa ajili ya kufanya fujo.
Usiku ulipoingia wakaanza kazi na kusababisha taharuki kwa wakazi wa Jiji la Dar.
Baadhi
ya mashuhuda walioshuhudia matukio hayo wanadai vijana hao walikuwa na
silaha mbalimbali yakiwemo mapanga na walivamia maeneo kadhaa zikiwemo
baa.
Wateja
waliokuwa katika baa ya Calabash iliyopo maeneo ya Mpakani, Mwenge
walilazimika kuacha vinywaji vyao na kukimbia hovyo huku wengine
wakikanyagana na kukatwa na vipande vya chupa kwa kile kilichodaiwa kuwa
vijana hao walikuwa wanakatiza maeneo hayo japo hawakuingia ndani.
NDOA YA LULU YABAKI NJIA PANDA
Mwigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Stori: Musa Mateja
BAADA ya
kuwa na malengo ya kuolewa mwaka 2014, mwigizaji Elizabeth Michael
‘Lulu’ ameibuka na kusema imeshindikana lakini hajilaumu wala hamlaumu
mtu yeyote kwa kutotimiza suala hilo kwani anaamini Mungu ndiye
anayewezesha kila kitu.
Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Lulu alisema mwaka 2014
alikuwa na malengo mengi likiwemo suala la ndoa lakini kwa kuwa Mungu
ndiye muweza, atapanga upya suala hilo na anaamini litakuja kutimia.
“Ndoa ni mipango ya
Mungu, huwezi kulazimisha hata siku moja, sisi wanadamu huwa tuna
mipango yetu lakini ili ifanikiwe lazima kuwe na baraka za Mungu,”
alisema Lulu.
Akizidi kupiga stori na
paparazi wetu, Lulu alisema kwa mwaka huu na mwakani hawezi kuweka
malengo ya ndoa kwani bado kuna mambo yake hajayaweka sawa hivyo suala
la kuolewa ataliweka hadharani baada ya miaka miwili ijayo.
“Sina mpango hata kidogo
kwa mwaka huu wala mwakani labda baada ya hii miaka kupita ndiyo
ninaweza kupanga tena suala la ndoa,” alisema Lulu.
Alipotakiwa kumtaja
mpenzi aliyenaye kwa sasa, Lulu aligoma kufunguka lakini akakubali
kuanika siri za mwanaume anayetaka kuwa mumewe.
“Kwanza nahitaji mwanaume atakayenielewa kwa kila kitu, pia awe na
mapenzi ya kweli na atakayeniangalia kama Lulu na siyo kama Elizabeth
pekee. Anapaswa kutambua na kusapoti kazi zangu za sanaa,” alisema Lulu.
Kuhusu mikakati yake ya
sanaa mwaka huu, Lulu alisema ana mpango wa kuendelea na masomo huku
akiwa pia na ‘project’ kubwa mbili ambazo anatarajia kuzifanya.
“Nina project kubwa mbili mwaka huu, muda utakapofika kila mmoja atazijua maana nitaziweka wazi,” alisema Lulu.
No comments:
Post a Comment