MSIBA WA BABA YAO P SQUARE WASHANGAZA WENGI!!
Acha kabisa! Mazishi ya baba wa mastaa wa
muziki wa Nigeria, mapacha Peter na Paul Okoye
wanaounda ‘Kruu’ ya P-Square, Moses Okoye
aliyefariki dunia Novemba 24, 2014 yamefanyika
kama sherehe siku ya Ijumaa januari 30 mwaka
huu.
muziki wa Nigeria, mapacha Peter na Paul Okoye
wanaounda ‘Kruu’ ya P-Square, Moses Okoye
aliyefariki dunia Novemba 24, 2014 yamefanyika
kama sherehe siku ya Ijumaa januari 30 mwaka
huu.


Mwili wa baba wa P-Square, marehemu Moses
Okoye ukisindikizwa kwenye gari kwa tarumbeta.
Kinacho Shangaza Zaidi Kuhusu WASANII HAO NI KWAMBA:
"MAZISHI YA BABA YAO P-SQUARE
KAMA SHEREHE, BABA YAO AKIWA
MOCHWARI KWA MIEZI MIWILI
JAMAA WALIKUA WANAPIGA SHOO
KAMA KAWAIDA."
Tutembelee MJUMBE BLOG Kwa picha,Matangazo,Matukio,Habari,Taarifa kila siku.
No comments:
Post a Comment