Tuesday, February 10, 2015

CHAMA CHA SANAA MBEYA(CHASAMBE) CHAPATA WALEZI WAPYA


Mwenyekiti wa Chama cha sanaa Jiji la Mbeya(Chasambe), Samwel Mwamboma akifuatilia jambo katika hafla ya kuwatambulisha walezi wapya wa chama hicho.

Katibu wa Chasambe, Ramadhan S. Ramadhan akisoma risala ya Chama hicho mbele ya walezi wapya katika hafla iliyofanyika Mbeya Hotel.

No comments:

Post a Comment