
Thursday, May 7, 2015
KONDA WA DALADALA MATATANI KWA KUISHI KINYUMBA NA HUYU MWANAFUNZI HAPA!
KONDAKTA wa
daladala inayopiga kazi njia ya Makumbusho na Gongo la Mboto, jijini
Dar aliyetambulika kwa jina moja la Saidi (pichani), ameingia matatani
baada ya kudaiwa kuishi kinyumba na mwanafunzi wa kidato cha tatu, tukio
lililotokea Magomeni Kagera hivi karibuni, kinyume na sheria za nchi.
Kwa
mujibu wa chanzo cha habari hizo, denti huyo mwenye umri wa miaka 17
anayesoma Shule ya Sekondari Nguvu Mpya, iliyopo Chanika, Dar aliishi
chumbani kwa konda huyo baada ya bibi yake anayeishi naye maeneo ya
Sinza, Dar kusafiri kuelekea Zanzibar.
Ilidaiwa kuwa wawili hao wamekuwa wakiishi kama mke na mume tokea Machi, mwaka huu ambapo konda huyo akitoka humfungia ndani.Ndani
ya chumba cha konda huyo, waandishi wetu wakiwa na polisi, walishuhudia
sare za shule pamoja na begi na madaftari na katika upekuzi kwenye
madaftari hayo, ilionekana mara ya mwisho aliandika Machi, mwaka huu.
Hata
hivyo, kondakta huyo hakuwepo nyumbani wakati wa tukio hilo, lakini
polisi wameahidi kumsaka na kumkamata ili kumfikisha mbele ya sheria.Mwanafunzi
huyo aliliambia Uwazi kuwa alikutana na konda huyo katika gari lake
ambapo alikuwa akimpatia unafuu wa usafiri bila kunyanyaswa kama
inavyowatokea wanafunzi wengine kabla ya kuanza uhusiano wa kimapenzi.
Alipoulizwa
kuhusu wazazi wake, alidai mama yake alishafariki na hakuwahi kumuona
baba yake, akidai anaishi na bibi yake maeneo ya Sinza, Dar ingawa hivi
sasa amesafiri kwenda Zanzibar.
Inawezekana hiki alichokiandika Irene Uwoya @Instagram ni story yake ya ukweli na sio movie???

Inawezekana Irene Uwoya ameamua kuweka sehemu ya historia ya maisha yake kwenye ukurasa wake wa Instagram???
Sio kitu kigeni sana kuona mtu anafaya
hivyo lakini post aliyoweka pamoja na picha yake huenda ina vitu vingine
ambavyo hatukuwahi kujua kuhusu yeye.. ni staa wa movie, swali jingine
ni hili; hii ni sehemu ya movie au ni true story ya kwake yeye kuhusu
maisha yake??
Kama ni ishu ya kweli kabisa kuhusu maisha yake basi hii ni part 1, picha na kile allichoandika viko hapa.

INAENDELEA...”bunge
na kumaliza la saba!nikaenda kidato cha kwanza st.thomas gongolamboto
mpaka kidato cha pili badae nikaenda Uganda nikasoma mpaka kidato cha 3
nikarud bongo kuchukua pass mpya coz yakwanza ilikuwa imesha
isha…..ilikuwa ijumaaa nikiwa nimeenda kwajili ya pass mpya nirud
shule!!!ndipo nilikutana na kaka mmoja mrefu,mweusi akaniita
malaika”nikashangaa mhh mbona sio jina langu ?akanisogelea a kanambia
kwa lugha ya kingereza Naitwa Patrick ponce monzanga!nikawa na
nashangaaa coz sikuwa namjua’nikamwambia naitwa irene akanambia naomba
nikwite malaika coz ur sooo beautiful huku akinipa mkono…nilipo mpa
mkono tuuu basiii kumbe nilikuwa nimejitengenezea bomu bila
kujua…..ITAENDELEAAAaaaaaaaaa“– @ireneuwoya8

Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenye fb
Mkali mwingine wa Bongo aliyeingia kwenye playlist ya video zinazoruka MTV Base !!

Tuliamini ili video za Bongo zifanye
vizuri kwenye television za nje basi ni lazima video hiyo itengenezwe na
directors kutoka nje pia, lakini kwa sasa tumeona video kadhaa za Bongo
zikipenya tena zikiwa zimeongozwa na directors wa hapa hapa TZ.

Video hiyo ya ‘Siachani Nawe‘ unaweza kuicheki hapa ukaenjoy kwa mara nyingine tena !!
Staa wa filamu za Bollywood kwenye Headlines kwa mara nyingine mahakamani!!
Mwaka 2002 mwigizaji filamu maarufu duniani wa Bollywood kutoka India Salman Khan,
alishtakiwa kwa kuua bila kukusudia baada ya kuelekeza gari lake kwenye
kundi la watu waliokuwa wamelala kando ya barabara huku mmoja wa watu
hao akipoteza maisha.
Habari
mpya kwa sasa ni kwamba mahakama ya India imemuhukumu kifungo cha miaka
mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtu huyo huku akiwa
amelewa mjini Mumbai.
Khan amedai kuwa dereva wake ndiye
anapaswa kulaumiwa kwa tukio hilo lakini mashuhuda wanasema mwigizaji
huo ndiye aliyekuwa anaendesha gari na alikimbia baada ya kutokea kwa
ajali hiyo.
Baadhi ya filamu ambazo staa huyo aliweza kuigiza na kufanya vyema kwenye soko la filamu duniani ni pamoja na Dabangg, Ready, Bodyguard, Ek Tha Tiger na Maine Pyar Kiya.
Subscribe to:
Posts (Atom)